Akizungumza na mtandao huu, Mkurughenzi wa Habari wa CUf, Adam Kambaya alisema Viongozi wawili wa CUF, katibu wa wilaya ya Nyamagana na mwenyekiti wa mtaa wa Nyamagana ambao hakuwataja majina wamelazwa katika Hospitali ya Bugando kwa matibabu zaidi.
Saturday, September 6, 2014
MSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI MBAYA..SOMA ZAIDI
Akizungumza na mtandao huu, Mkurughenzi wa Habari wa CUf, Adam Kambaya alisema Viongozi wawili wa CUF, katibu wa wilaya ya Nyamagana na mwenyekiti wa mtaa wa Nyamagana ambao hakuwataja majina wamelazwa katika Hospitali ya Bugando kwa matibabu zaidi.