
Siku washiriki wa BBA Hotshots wanatambulishwa, mwakilishi wa Tanzania, Idris Sultan alimwambia mtangazaji IK kuwa cheche zake zipo kwenye masuala ya wanawake. Huenda sasa shughuli imeanza.
Baada ya binti mrembo wa Botswana( Goitse) kumzingua mshikaji ( Idris ) aliyekuwa ametupa jiwe kumtaka awe mpenzi wake, hatimaye Idris jana alimnasa binti huyo na kula naye dinner pamoja...
Ni kama ndoto vile!!....Dinner hiyo iliandaliwa na kufanikishwa na washikaji zake wa karibu Nhlanhla na JJ ambao walisaidia kupika chakula hicho kuhakikisha kuwa wawili hao wanakuwa na mtoko utakaowafurahisha.
Wakati wote wa dinner, Ellah, Sabina, M’am Bea na Luis walishiriki sehemu yao ya kuwahudumia chakula. Idris alimuuliza Goitse maswali kutaka kumfahamu zaidi na kumuuliza kama anaamini katika uhusiano wa mbali, long-distance relationships. Goitse, hata hivyo alionesha kuvutiwa zaidi na urafiki tu kuliko mapenzi.
Matukio yote ya Big Brother yako hewani kupitia site yako pendwa ya www.bigbrotherafricans.com
Usikubali kupitwa na tukio lolote....Video zote, picha za washiriki na live updates mbalimbali zinaruka masaa 24 kwa siku zote 63 za shindano hili.
Unataka kushuhudia kila kitu?? << BOFYA HAPA>>
Ingia hapo juu kwa matukio ya moja kwa moja toka ndani ya jumba la big brother africa.
-Via mpekuzi
Usikubali kupitwa na tukio lolote....Video zote, picha za washiriki na live updates mbalimbali zinaruka masaa 24 kwa siku zote 63 za shindano hili.
Unataka kushuhudia kila kitu?? << BOFYA HAPA>>
Ingia hapo juu kwa matukio ya moja kwa moja toka ndani ya jumba la big brother africa.
-Via mpekuzi