Tuesday, October 21, 2014

T.I AWATUKANA WAMAREKANI WANAOMWAMBIA TOUR YAKE TANZANIA ( AFRICA) ITAPELEKA EBOLA MAREKANI. TAZAMA ALIVYOMTUKANA HUYU.

Mfalme wa Kusini, T.I. amemind. Tangia weekend iliyoishia alipokuwa akipost picha za ujio wake nchini Tanzania, baadhi ya followers wake wajinga wa Marekani wamekuwa wakimkejeli kuwa anaweza kurudi Marekani akiwa ameambukizwa ugonjwa wa Ebola.

T.I
T.I. akitumbuiza kwenye Fiesta, Dar es Salaam
Katika kuthibitisha kuwa amekuwa akisoma comments zao, T.I. ameonekana kutofurahishwa na kauli hizo za kipuuzi na ameamua kumtolea uvivu mmoja wao aliyemtelea habari hizo za Ebola.
B0VimJYIEAAzAn3