BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q Chief' SASA KUACHANA NA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA
Baada ya kipindi kirefu cha kusumbuliwa na utumiaji wa madawa
ya kulevya, msanii Shaban Katwila 'Q Chief' sasa anaweka wazi
kuwa ameachana kabisa na matumizi ya MADAWA YA
KULEVYA na yuko tayari kuwapa wapenzi wake buradani.
Nini unataka kumshauri msanii huyu?