Tuesday, December 16, 2014

Samantha wa Big Brother Kutua Tanzania leo kula bata na Idris


Mashabiki wa muungano wa pamoja kati ya mshindi wa Big Brother Hotshots, Idris Sultan na swahiba wake Samantha wa Afrika Kusini watawaona tena wakiwa pamoja kuanzia leo

Mrembo huyo anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu. Awali alikuwa atue jana Jumapili  lakini alichelewa ndege.

Idris alijishindia dola $300,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 514.