Shilole akipiga kelele baada ya kumwagiwa maji na bia.
Sehemu ilipofanyikia sherehe hiyo.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye sherehe hiyo.
MWANADADA Zuwena Mohamed ‘Shilole’ jana alidondosha bonge la pati alipokuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika moja ya apatiment iliyopo nyuma ya Baraka Plaza Mikocheni, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii kama Ditto, Linah, Chegge, Mhe. Temba, Shetta, Mziwanda pamoja na wadau wengine.