Tuesday, February 3, 2015

USAJILI MZIMA DIRISHA DOGO ENGLAND, NANI KAINGIA WAPI, NANI KATOKA TIMU ZOTE LIGI KUU

PAZIA la usajili wa dirisha dogo England limefungwa jana na hakukuwa na msisimko kama usajili mkubwa wa kuanza msimu huu.
Arsenal imesajili kinda wa miaka 17, Krystian Bielik na beki wa kati, Gabriel Paulista kwa Pauni Milioni 11.2, wakati Manchester United imemsajili kipa mkongwe Victor Valdes, huku vigogo wengine,
Liverpool wakiwa hawajasajili mchezaji yeyote. BIN ZUBEIRY inakupatia usajili mzima wa dirisha dogo, waliotoka na kuingia katika klabu zote.
Gabriel Paulista ametua Arsenal kutoka Villarreal ya Hispania kwa dau la Pauni Milioni 11.2

ARSENAL: 

WALIOINGIA: Gabriel Paulista (Villarreal, Pauni Milioni 11.2) na Krystian Bielik (Legia Warsaw, Pauni Milioni 2.5).  
WALIOTOKA: Benik Afobe (Wolves), Lukas Podolski (Inter Milan, mkopo), Yaya Sanogo (Crystal Palace, mkopo), Joel Campbell (Villarreal, mkopo).  

ASTON VILLA  

WALIOINGIA: Carles Gil (Valencia, Pauni Milioni 3.25), Scott Sinclair (Manchester City, mkopo). 
WALIOTOKA: Darren Bent (Derby, mkopo), Gary Gardner (Nottingham Forest, mkopo), 
Chris Herd (Wigan, mkopo), Callum Robinson (Preston, mkopo).

BURNLEY: 
WALIOINGIA: Michael Keane (Manchester United).
WALIOTOKA: Hakuna.

CHELSEA: 
WALIOINGIA: Juan Cuadrado (Fiorentina, Pauni Milioni 27). 
WALIOTOKA: Andre Schurrle (Wolfsburg, Pauni Milioni 24), Ryan Bertrand (Southampton, Pauni Milioni 10), Mark Schwarzer (Leicester, bure), 
Thomas Kalas (Middlesbrough, mkopo), John Swift (Swindon, mkopo), Lewis Baker (Sheffield Wednesday, mkopo), Marko Marin (Anderlecht, mkopo), Mohamed Salah (Fiorentina, mkopo).

CRYSTAL PALACE: 

WALIOINGIA: Wilfried Zaha (Manchester United Pauni Milioni 6), Jordon Mutch (QPR, Pauni Milioni 5.75), Lee Chung-yong (Bolton), Keshi Anderson (Barton Rovers, Pauni 35,000), Shola Ameobi (Gaziantep), Pape Souare (Lille), Yaya Sanogo (Arsenal, mkopo). 
WALIOTOKA: Stuart O'Keefe (Cardiff), Alex Wynter (Colchester), Zeki Fryers (Rotherham, mkopo), Lewis Price (Crawley, mkopo), Jake Gray Cheltenham, mkopo), Barry Bannan (Bolton, mkopo), Jimmy Kebe (ametemwa).

EVERTON: 
WALIOINGIA: Aaron Lennon (Tottenham, mkopo). 
WALIOTOKA: Samuel Eto'o (Sampdoria, bure), 
Chris Long (Brentford, mkopo), Conor McAleny (Cardiff, mkopo).

HULL CITY:

WALIOINGIA: Dame N'Doye (Lokomotov Moscow, Pauni Milioni 3).
WALIOINGIA: Tom Ince (Derby County, mkopo).

LEICESTER CITY: 
WALIOINGIA: Andrej Kramaric (Rijeka, Pauni Milioni 9.5), Mark Schwarzer (Chelsea, bure), Robert Huth (Stoke City, mkopo). 
WALIOTOKA: Tom Hopper (Scunthorpe, mkopo). 

LIVERPOOL: 
WALIOINGIA: Hakuna 
WALIOTOKA: Oussama Assaidi (Al Ahli, Pauni Milioni 4.7), Suso (AC Milan, Pauni Milioni 1).
  
MANCHESTER CITY: 
WALIOINGIA: Wilfried Bony (Swansea, Pauni Milioni 28). 
WALIOTOKA: Matija Nastasic (Schalke, mkopo), Scott Sinclair (Aston Villa, mkopo).
Wilfried Bony ametua Manchester City kwa Pauni Milioni 28 kutoka Swansea City

MANCHESTER UNITED: 
WALIOINGIA: Victor Valdes, Sadiq El Fitouri (Salford City, bure), Andy Kellett (Bolton, mkopo). 
WALIOTOKA: Wilfried Zaha (Manchester United, Pauni Milioni 6), Michael Keane (Burnley, Pauni Milioni 3), Darren Fletcher (West Brom, bure), 
Will Keane (Sheffield Wednesday, mkopo), Ben Amos (Bolton, mkopo), Jesse Lingard (Derby County, mkopo). 

NEWCASTLE UNITED 
WALIOINGIA: Hakuna
WALIOTOKA: Mapou Yanga-Mbiwa (Roma, Pauni Milioni 5.2), Hatem Ben Arfa (ametemwa), Gael Bigirimana (Rangers, mkopo), Haris Vuckic (Rangers, mkopo), Shane Ferguson (Rangers, mkopo), Davide Santon (Inter Milan, mkopo).
QUEENS PARK RANGERS: 
WALIOINGIA: Mauro Zarate (West Ham, mkopo), Ryan Manning (Galway United, bure).
WALIOTOKA: Jordon Mutch (Crystal Palace, Pauni Milioni 5.75), Bruno Andrade (Stevenage, mkopo).

SOUTHAMPTON: 
WALIOINGIA: Ryan Bertrand (Chelsea, Pauni Milioni 10), Eljero Elia (Werder Bremen, mkopo),
Filip Djuricic (Benfica, mkopo). 
WALIOTOKA: Jack Cork (Swansea, Pauni Milioni 3), 
Jos Hooiveld (Millwall, mkopo), Artur Boruc (Bournemouth, muendelezo wa mkopo).

STOKE CITY: 
WALIOINGIA: Philipp Wollscheid (Bayer Leverkusen, mkopo).
WALIOTOKA: Ryan Shotton (Derby), Maurice Edu (Philadelphia), Robert Huth (Leicester City, mkopo).

SUNDERLAND: 

WALIOINGIA: Jermain Defoe (Toronto).
WALIOTOKA: Jozy Altidore (Toronto), Mikael Mandron (Shrewsbury, mkopo), Charis Mavrias (Panathinaikos, mkopo), Cabral (ametemwa).
SWANSEA CITY: 
WALIOINGIA: Kyle Naughton (Tottenham, Pauni Milioni 5), Jack Cork (Southampton, Pauni Milioni 3), Matt Grimes (Exeter City, Pauni Milioni 1.75), Nelson Oliveira (Benfica, mkopo).  
WALIOTOKA: Wilfried Bony (Manchester City, Pauni Milioni 28), Rory Donnelly (Tranmere, mkopo), Jazz Richards (Fulham, mkopo).

TOTTENHAM HOTSPUR:  
WALIOINGIA: Dele Alli (MK Dons, Pauni Milioni 5).
WALIOTOKA: Kyle Naughton (Swansea, Pauni Milioni 5), Aaron Lennon (Everton, mkopo), Milos Veljkovic (Charlton, mkopo), Benoit Assou-Ekotto (ametemwa), Dele Alli (MK Dons, mkopo.

WEST BROMWICH ALBION: 

WALIOINGIA: Callum McManaman (Wigan, Pauni Milioni 4.75), Darren Fletcher (Manchester United, bure). 
WALIOTOKA: Luke Daniels (Scunthorpe).

WEST HAM UNITED: 

WALIOINGIA: Doneil Henry (Apollon Limassol)
WALIOTOKA: Mauro Zarate (QPR, mkopo), Ricardo Vaz Te (ametemwa) .