Tuesday, April 14, 2015

BASI LA PRINCES MUNAA LAPATA AJALI MKOANI DODOMA, ANGALIA PICHA HAPA


Jana jioni kumetokea ajali ya Basi la Princes munaa lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma. 

Halijaua lakini kuna Majeruhi.

picha kwa mujibu wa jamii forums