Nusu fainali ya pili ya madiano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inaendelea usiku wa leo kwenye dimba la Santiago Bernabeu ambao unazikutanisha timu za Real Madrid na Juventus.
Katika mchezo wa awali uliopigwa nchini Italia,Juventus walifanikiwa kushinda kwa goli 2-1.
Yafuatayo ni matokeo na vikosi vya timu zote mbili:
FT: Real Madrid 1-1 Juventus
Cristiano Ronaldo (pen.) 23'|Alvaro Morata 57'
Real Madrid: Casillas, Carvajal, Varane, Ramos, Marcelo, Kroos, Isco, Rodriguez, Bale, Ronaldo, Benzema
Juventus: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Marchisio, Pirlo, Pogba, Vidal, Tevez, Morata