JIJI LETU

Tuesday, June 23, 2015

AZAM WASHUSHA KILIMANJARO V, INAENDA KASI ZAIDI NA NDANI KAMA DEGE LA AIR BUS

Boti mpya ya kisasa, Kilimanjaro V ya kampuni ya Azam Marine, inayomilikiwa na kampuni ya Said Salim Bakhresa ambao pia ni wamiliki wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam baada ya kuwasili eneo la Bandari ya Zanzibar. Boti hiyo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni kwa safari za Bara na Visiwani.
Ni boti iendayo kasi zaidi na ndani muundo wake ni kama ndege kubwa aina ya Air Bus
at 5:26:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULY 11 2015
  • Audio: Wema akiongelea uamuzi wa kuwania ubunge wa viti maalum
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARY 1 2016
  • Dr Cheni alazwa hospitali kutokana na ugojwa mpya uliozuka jijini DAR(Dengue)
  • Mtitu Amjibu Steve Nyerere "Ukifa Mimi Napata Faida Gani ? Kanumba Amekufa Akiwa na Bifu na wewe Chanzo ni Hayo Maneno yako"
  • VERA SIDIKA AONYESHA MAZIWA YAKE MTANDAONI LIVE
  • Mbowe Atangaza Baraza lake la Mawaziri Bungeni Leo
  • SISTA WA KANISA LA ROMAN KATOLIKI AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
  • HIZI NDIZO NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA ULEVI AFRIKA...TANZANIA,KENYA,UGANDA,RWANDA,BURUNDI NDANI!
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.