JIJI LETU

Tuesday, June 23, 2015

AZAM WASHUSHA KILIMANJARO V, INAENDA KASI ZAIDI NA NDANI KAMA DEGE LA AIR BUS

Boti mpya ya kisasa, Kilimanjaro V ya kampuni ya Azam Marine, inayomilikiwa na kampuni ya Said Salim Bakhresa ambao pia ni wamiliki wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam baada ya kuwasili eneo la Bandari ya Zanzibar. Boti hiyo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni kwa safari za Bara na Visiwani.
Ni boti iendayo kasi zaidi na ndani muundo wake ni kama ndege kubwa aina ya Air Bus
at 5:26:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Kidoa Ayasifia Makalio Yake, Ampa Makavu Agness Masogange
  • MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBER 25 2015
  • Wananchi Wa Dodoma Wakerwa Na MATUSI Ya Makongoro Nyerere Dhidi Ya Edward Lowassa
  • Gaidi la Kisomali lazikwa kimya kimya bongo
  • WATU 20 WAUAWA KATIKA MAPIGANO BANGUI
  • BEYONCE AFUNGUA KANISA LAKE NA KULIPA JINA LA 'THE INTERNATIONAL CHURCH OF BEY' NA PIA ANA BIBLIA YAKE
  • January Makamba Awapa Makavu Wapinzani
  • DEMU MPYA WA DIAMOND PLATINUM "ZARI" APOST PICHA AKIWA NYUMBANI KWAO NA KUACHIA UJUMBE MZITO..UTAZAME HAPA
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY 31,2014
  • HIVI NDIVYO DR.CHENI ALIVYOSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA JULY 20.
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.