JIJI LETU

Monday, June 15, 2015

BREAKING NEWS>> BASI LAGONGANA NA LORI NA KUUA WATU ZAIDI YA 20 TANZANIA


Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba gari ya Kampuni ya Another G inayofanya safari zake Njombe kwenda Iringa imegongana Lori Semi Trailler .

Taarifa zinasema kuwa ajali hiyo imetokea katika eneo la Kinyanambo,njia panda ya Madibila.
Inaelezwa kuwa waliofariki dunia mpaka sasa ni 22 wanaume 15 na wanawake 7 na majeruhi ni 34.
Hiyo ni kwa ufupi tutaendelea kuwajuza........endelea kutembelea mtandao huu.
at 10:25:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • YASEMEKANA ETI HAWA NDO WASANII WANAOPENDWA SANA NA MADEMU TANZANIA
  • LOWASSA AAHIDI UTENDAJI SPIDI 120
  • WANAFUNZI WATATU WAGONGWA NA TRENI NA KUFA HAPO HAPO BAADA YA KUNOGEWA NA SELFIE!
  • MTOTO WA KIGOGO AAPA KUHAMA NCHI LOWASSA AKISHINDA URAIS..YAANI NI SHEEDAH..NI HUYU HAPA
  • MHE. WASIRA AAMUA KUMWONA SHERIA NGOWI ILI AMTENGENEZEE SUTI ZAKE
  • LINAH Ajiweka kimaaba kwa kaka yake ZARI
  • KAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI
  • Mvua Kubwa Yasababisha Foleni Dar
  • Mistari Ya Afande Sele Akimchana Vibaya Aliyeondoka, Akimsifia Magu.
  • HUU NDO UTAJIRI WA MCHUNGAJI GWAJIMA....NDIYE ASKOFU TAJIRI NO.1 TANZANIA
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.