Thursday, June 25, 2015

Picha tatu za Boti ya KILIMANJARO V ilivyoshushwa kwenye maji Zanzibar

1
Usafiri wa Boti ndio kiungo muhimu cha Dar na Zanzibar, watu wengi wanautegemea usafiri huu mtu wangu.. Good news kwa wasafiri wote DAR-ZANZIBAR !!
Boti nyingine tayari imeshushwa kwenye maji Zanzibar na time yoyote itaanza safari kati ya Dar na Zanzibar, ninazo pichaz zikionesha Boti hiyo ilivyoshushwa toka Australia.
unnamed (1)
unnamed (2)