Friday, July 10, 2015

Dully Sykes Achukua Maamuzi Magumu Kama Alivyofanya Ali Kiba...Aamua Kuwa Unfollow Watu Wote Kwenye Page yake ya Instagram..Sababu Hizi Hapa

Mwimbaji mkongwe Dully Sykes ameamua kufuata nyayo za Mwanamuziki Ali Kiba Kwa kuamua kutomfollow mtu yoyote kwenye page yake ya Instagram, Baada ya kuulizwa Sababu kwanini amefanya hivyo Dully Sykes Amesema amefanya hivyo kuepuka pressha za watu ambao wana tabia za kuwasema watu wengine na kushawisha watu wengine wamchukie fulani au kupost vitu asivyopenda ..Dully Amedai ni bora afollow page za kutoa Habari kuliko kumfollow mtu mmoja mmoja ambao wamekuwa ndio vyanzo vya Beef za mitandaoni....

Una maoni Gani?