Kama ulikosa time ya kumtazama au kumsikiliza Rais Kikwete kwenye hotuba yake akilivunja Bunge Dodoma June 9 2015 unaweza kuutumia muda wako kumsikiliza hapa chini.
Amezungumzia ishu nyingi sana ikiwemo Wasanii na alivyowasaidia, soka, miaka yake kumi ya uongozi na aliyoyafanya pamoja na mambo mengine.