JIJI LETU

Tuesday, March 22, 2016

PICHA ZA WOLPER ANAVYOKUWA AKIWA ANAKULA GAMBE

jb

 Staa wa filamu Jacqueline Wolper aka ‘WolperGambe’ ameamua kuandaa filamu ‘Gambeka’ jina ambalo limetokana na aka yake. Katika filamu hiyo Jackie amecheza kama mwanadada mlevi.


Kupitia instagram, Wolper ameandika:
New movie ni hatari gambeka shabq yangu kaa mkao wakufurahi mungu tusimamie.
Muigizaji huyo, amewai kutamba na filamu kama Tom Boy, After Death, Hard Price na nyingine nyingi.

Nini maoni yako juu ya ujio wa filamu hiyo?
at 10:55:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • HUU NDO UTAJIRI WA MCHUNGAJI GWAJIMA....NDIYE ASKOFU TAJIRI NO.1 TANZANIA
  • LOWASSA AAHIDI UTENDAJI SPIDI 120
  • Mbaroni Kwa Kumfanya Mke Wa Mtu ‘Msukule’
  • HAYA NDIYO MAMBO YA MINZIRO, NI BURUDANI YA ZIADA ZAIDI YA DAKIKA 90 ZA MCHEZO UWANJANI
  • LINAH Ajiweka kimaaba kwa kaka yake ZARI
  • Maiti ya Sangoma Yazua 'Timbwili' Mbeya...Yazikwa Ndani ya Nyumba yake Usiku
  • Rais Magufuli aitumbua Tanesco
  • Tafadhali Usijaribu Kula Chakula Kwa Namna Hii...Ni Hatari Kwa Afya Yako
  • AMA KWELI UZEE MWISHO CHALINZE MJINI KILA MTU BEIBY!! BABU AFUMWA GESTI AKIMLA URODA BINTI MDOGO!!
  • Baada ya Diamond, Vanessa Mdee kawa Verified Twitter
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.