Wednesday, February 11, 2015

Haya ni mapokezi ya mabingwa wa #AFCON2015 Ivory Coast nyumbani kwao…

Coastals
Mabingwa wa AFCON 2015 ni Ivory Coast, dunia nzima imewatambua baada ya ushindi wao wa penati 9-8 dhidi ya wakali wa Ghana, fainali ambazo zilichezwa FEB 9 ndani ya Equatorial Guinea.
Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara aliongozana na maelfu ya mashabiki ambao walifurika kwenye mapokezi ya mabingwa hao baada ya kuwasili nyumbani kwao.
Hapa ni baadhi ya PICHAZ mabingwa hao baada ya kikabidhiwa kombe lao na wakati wakiwasili nyumbani kwao.
_80871493_yaya_celebrate
Yaya Toure na wenzake wakishangilia baada ya kukabidhiwa Kombe lao.
Coastals
Yaya Toure na wenzake wakiwasili Ivory Coast.
mapokezi5
A 2
Rais wa Ivory Coast, Alasane Outtara na Yaya Toure katika mapokezi ya kikosi cha Timu hiyo ya Taifa.
A 3
1180890_980965
Milango pekeyake haikutosha kuingilia Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny, wengine walitumia njia hii.
A 3
Ivory
mapokezi7