Friday, June 5, 2015

MWANAMKE ANAE DAIWA KUZAA NA DAVIDO,AMGANDA KWA KU-POST PICHA HIZI INSTAGRAM




Ni wiki sasa imepita tangu mwana mama huyu mwenye mtoto mmoja aane dai amezaa na mwana muziki Davido,amekuwa aki-post picha ya mtoto katika page yake na kudai ni mtoto wa Davido.
Amekua akidai kwamba yeye ndio mpenzi wa Davido na amezaa nae mtoto mmoja,lakini mwanamke huyo kwatika taarifa hizo hajawahi ku-post picha yoyote ikimuonyesha yupo na Davido na mpaka sasa Davido haja jibu chochote kuhusu picha hiyo.