Thursday, July 9, 2015

BREAKING NEWZZ!!:- MBUNGE WA CCM AFARIKI DUNIA!!


Tunapenda kuwajulisha kifo cha ghafla cha aliekuwa mbunge wa Shinyanga Mjini CCM 1995-2005, Mzee Leonard Newe DEREFA, kilichotokea mapema leo asubuhi 09.07.2015 Nyumbani kwake Shinyanga Ngokolo, mjini.
Tunapenda kutoa pole za dhati kwa Familia na chama chake cha CCM.Taarifa zaidi Tutawajuza hapa. BWANA alitoa na BWANA ametwa, Jina lake libarikiwe. RIP Mwana Derefa.
Mazishi yanategemewa kuwa siku ya Jumapili tarehe 12.07.2015 Shinyanga Mjini.