Monday, June 13, 2016

PICHA:Msami kafanyiwa suprise na Meneja wake… kapewa gari

Ni mwimbaji na dancer kwenye muziki wa bongofleva anaitwa Msami Giovani leo June 11, 2016 bila kujua kitachotokea baada ya kufanya mazoezi asubuhi, meneja wake aitwae Rehema amemfanyia suprise ya kumzawadia gari aina ya Toyota Ipsum yenye thamani ya Tsh. milioni 15.
Hii ni baada ya single yake iitwayo Mabawa kufanya vizuri kwenye Radio, TV na hata kumpa mauzo ya shows nyingi zaidi majukwaani Tanzania, usisahau kwamba Msami ni bingwa wa kumiliki stage pia.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Mwigizaji Kajala ni miongoni mwa waliokuwepo kwenye suprise
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Meneja Rehema na uthibitisho wa kadi ya gari