Thursday, January 28, 2016

Ali Kiba: Cindelela Ilipo’hit’ Ndoto Za Kuwa Mchezaji Mpira Maarufu Zilikufa

Ali Kiba Uwanjani
Ali kiba tangu akiwa mdogo alikuwa na ndoto za kuwa mchezaji mpira maarufu Bongo na mpira alikuwa anauweza hasa mpaka kutaka kusajiliwa na timu moja kubwa..
Kiba amefunguka kwanini aliacha mpira;
‘’Sababu ilikuwa wimbo wangu wa Cindelela ulikuwa umehit ikabidi niachane na mpira nikaanza kupiga hela Tanzania nzima nikazunguuka,lakini kwenye mpira nilikuwa katika form,nikashindwa kuendelea nilikosa muda kabisa wa kucheza mpira,’’Kiba.